Jeremiah 30:10


10 a“ ‘Hivyo usiogope, ee Yakobo mtumishi wangu,
usifadhaike, ee Israeli,’
asema Bwana.
‘Hakika, nitakuokoa kutoka mbali,
wazao wako kutoka nchi ya uhamisho wao.
Yakobo atakuwa tena na amani na usalama,
wala hakuna atakayemtia hofu.
Copyright information for SwhKC